Msichana yupi anafaa kuoa

Msichana yupi anafaa kuoa

MeNaco.com

Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
94
Reaction score
4
Katika hali ya kawaida kibinadamu, ni kazi sana kupata msichana wa ukweli wa kumweka ndani awe mama watoto wako. Sasa naomba tusaidiane sifa za msichana anayefaa kuoa, na yupi hafai?
 
Msichana anayekufaa unamfahamu wewe mwenyewe, ukitaka tukuambie sisi kila mtu atakuwambia kulingana na mapenzi ama matakwa yake na mwisho wa siku utapotea kabisa. Ni wewe ndo unajua utaka mwanamke wa namna gani, kwa vigezo ulivyojiwekea wewe mwenyewe.

Miluzi mingi humpoteza mbwa.
 
Sokoni uende wewe, vya kununua tuchague sisi
 
Msichana anayekufaa unamfahamu wewe mwenyewe, ukitaka tukuambie sisi kila mtu atakuwambia kulingana na mapenzi ama matakwa yake na mwisho wa siku utapotea kabisa. Ni wewe ndo unajua utaka mwanamke wa namna gani, kwa vigezo ulivyojiwekea wewe mwenyewe.
Miluzi mingi humpoteza mbwa.
Umemjibu vyema.
 
1. Mwenye kazi yake inayomueka mjini
2. Anaejua kugegedana
3. Mwene kujali usafi

Itaendelea/
 
Hujakutana nano pia unaokutana nao ni wakugegedana tu ukikutana nao we mwenyewe utatualika harusi

ah watu wenyewe mara wawe nawe mara oh i met a new guy am so inlove with him huyu mwalimu simfeel kivile...nani anataka upuuzi huo
 
uko dunia gani kaka? msichana anayefaa kuwa mke unamjua mwenyewe, ukimuona tu utamjua wala haina haja ya kuuliza, ukiona una maswali ujue sio endelea kumtafuta
 
Utakayempenda ambaye unaona kabisa kwamba ni lazima na anastahili kabisa kuwemo katika maisha yako ya kila siku.

Katika hali ya kawaida kibinadamu, ni kazi sana kupata msichana wa ukweli wa kumweka ndani awe mama watoto wako. Sasa naomba tusaidiane sifa za msichana anayefaa kuoa, na yupi hafai?
 
Back
Top Bottom