msichana wa miaka 25 bado bikra

Haaa mi sizifahamu sehemu za mauzo, lakini inaelekea wewe ni expert lol.

Naam, mtu unaweza kujitunza mpaka miaka 28, 38, 48. Ni chaguo lako. Ninachoshangaa ni kwanini ajitunze muda woote huo halafu ajiachie kwa mwanamme wa kibongo ambae 1) si mume 2) si official boyfriend, maana kupima walikuwa bado hawajapima, na pia jamaa amekiri kuwa na yeye alikuwa anarandaranda na wengine kabla ya hapo. Kama amekuja kuuliza kama aoe huyu binti, ina maana hawakuwa serious na wala hawakuliongelea hili swala.

Mimi sikuchezewa, in fact I married the man that deflowered me. Lakini si kusema kuwa sikuwahi kuwa na mwanamme mwingine kabla ya kukutana ya mume wangu. Ninachosema ni hata kama huyu binti alikuwa "sealed" usijidanganye kuwa hajawahi kufanya au kufanyiwa mambo mengine na wanaume katika miaka yake 25 duniani.






 
Nadhani sio jambo la kustaajabu kivile as if umeona dhahabu,kama umemkuta yuko hivyo ni poa shukuru Mungu na iwe siri yako.Suala la kutaka kuoa eti kisa umemkuta ana bikra,mimi binafsi siwezi kukuunga mkono kwa vile hatuoi bikra ila unamuoa mtu (characters zake).Angalia usije jikuta unalia maisha yako yote na hiyo dhahabu yako(bikra) ikiwa ndani ya nyumba.
 
Kwa iyo huyo mdada kama hautaki kupima una future gani naye.umemsifia kiasi hicho lkn bado unataka kumchezea kama si kumuambukiza.haufai kanisani wala msikitini.shame of you.
 
Haaaaahaaaahaaaaaa Kongosho majibu yako bana mwenzio umeniacha hoi huyo Huji Ntaho ndo nani?Sijui unayatoleaga wapi macomments yako dahhhhhhh we mkaliiiii.
wivu wa bikra ya Huji Ntaho? Hebu kuwa siriaz kidogo
 
Last edited by a moderator:
ha haaaa, Kongosho unakuwaga na majibu standby?
umenifurahisha sana
 
Last edited by a moderator:
Kuna haja ya kuanza kufundisha kwa mihadhara, ngja babu Dark City arudi tuombe aanzishe mihadhara

sana kabisa.......
mara nyingi huwa najiulizaga kama kweli haya ni matawi yetu.......
 
Last edited by a moderator:

we nae!! sijui unaandika vijitu gani hivi,kwhyo unataka ushauri gani sasa unacheka mazuri hayo, au unaona ndo uanaume, nina mashaka na umri wako ,nahis under 18 weyee!! Kwanza waliotembea na mbinti totauti totafut wasingeshangaa kukutana na bikra yenye umri wa miaka 25 wala.
 
sasa umemtoa bikira ndo unataka umuoe, si asha kuwa kama wengine tu, je ukipata mwingine mwenye bikira nae utaoa, usioe kwa kigezo cha bikira, wakwangu nilimpata nayo lakini sikumuoa kwasababu ya bikira, kwamaana hata asingekuwa nayo bado ningemuoa.

Kama shida yako nikupenda wenye bikira basi huyo usingetoa yake, ungeoa kisha mnaangaliana tu kama dada na kaka ili bikira yake isije toka.

Alafu marriage is more than sex, kama kipimo chako cha kuoa kipo kwenye sex, hutadumu kwenye hiyo ndoa, you need to grow up boy.
 
Hongera kwa kutumia kitu kipya kitokacho kwenye makaratasi. lakini je, unauhakika huyo binti hajatumia gharama yoyote kutunza bikra hiyo? Marinda yake hayajafumuliwa? Ahahahahahaaaaa! kazi kweli kweliiiiii!
😕
 

unauliza kama inawezekana huku unasema umevunja. Acha habari zako za kufikirika afu we si upo kwa mtogole tangia lini pakaitwa ughaibuni?
 

Eti nichukue niweke ndani?

Hivi kumkuta mtu bikra ni lazima kumuoa?

Wewe hauna sifa unazotaka kwa mtu unaemuoa?

Tukushauri umuoe kwa sababu ya bikra uliyoitoa?

Kumuoa mtu ni zaidi ya kumtoa bikra msichana..

By the way tumeshajua uko ughaibuni na asante kwa kutujuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…