naitaji msichana wa kazi katika office yangu iliyopo mabibo hostel
mshahara ni kuanzia tsh 100,000/= awe anakaa tabata kisukuru external
Mie nipo tayar na naish river side vip nitapata? Pia nitapewa training namna ya kuitumia hiyo mashine? Coz sina experiance ya kutumia hiyo machine.
Naitaji msichana wa kazi
katika office yangu iliyopo mabibo hostel, mshahara ni kuanzia tsh
100,000/= Awe anakaa tabata kisukuru external.