Anahitajika msichana wa kazi..kuhudumia familia ya watu wa tatu.baba.mama mtoto.kuishi kwa tajiri.kazi kupika.kufua na kulinda nyumba.mshahara shilingi 50.000.bima ya.afya na mahitaji ya msingi ni juu ya mwajiri.likizo kila mwisho wa mwezi na kila jumapili mchana.piga 0653 141189.mahali ni ukonga