Msichana wa kazi anahitajika KENYA

Msichana wa kazi anahitajika KENYA

BM X6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2020
Posts
1,376
Reaction score
4,275
Mdada wa kazi za ndani anahitajika nchini Kenya, Nairobi. Umri kuanzia miaka 18 hadi 37

Familia ya watu wanne, Baba, Mama na watoto wawili mmoja ako Boarding school mwingine ndio anataka kuanza shule, hivyo majukumu makubwa ya mdada itakuwa ni kumpeleka mtoto shule na kumrudisha nyumbani pamoja na kazi ndogo ndogo za nyumba.

Mshahara ni Ksh 3,000

Inbox kwa maelezo zaidi
 
Nyie wakenya ni wanyanyasaji sana, yaani kwa mbwembwe kabisa unamtangazia msaidizi wa ndani 3000 ksh ambayo ni sawa na 62,000 tsh...!!??
Huku kwetu tubawalipa 70,000-100,000
 
Nyie wakenya ni wanyanyasaji sana, yaani kwa mbwembwe kabisa unamtangazia msaidizi wa ndani 3000 ksh ambayo ni sawa na 62,000 tsh...!!??
Huku kwetu tubawalipa 70,000-100,000
Boss Man, Mshahara hulingana na majukumu, kama huko analipwa laki nadhani ni kulingana na majukumu anayopewa.....halafu mm sio Mkenya
 
Mdada wa kazi za ndani anahitajika nchini Kenya, Nairobi. Umri kuanzia miaka 18 hadi 37

Familia ya watu wanne, Baba, Mama na watoto wawili mmoja ako Boarding school mwingine ndio anataka kuanza shule, hivyo majukumu makubwa ya mdada itakuwa ni kumpeleka mtoto shule na kumrudisha nyumbani pamoja na kazi ndogo ndogo za nyumba.

Mshahara ni Ksh 3,000

Inbox kwa maelezo zaidi
Mshahara ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom