Habarini wana jamvi.
kuna msichana anatafuta kazi yoyote ya kumkeep bize ni muhitimu wa kidato cha nne 2015 anakaa Dar ., yuko tayari kufanya kazi kwenye shirika au hata kwa mtu binafsi ukimhitaji ni pm.
Mmmm watu wanawezwa guswa na hilo hitajio la huyo msichana tajwa, na kutaka kutoa msaada unaohitajika. Tatizo liko kwenye hilo jiba la mleta hoja (Al Shabab), loooih. Mleta hoja kabadili jina ndipo ujipange upya kutangaza!
Mmmm watu wanawezwa guswa na hilo hitajio la huyo msichana tajwa, na kutaka kutoa msaada unaohitajika. Tatizo liko kwenye hilo jiba la mleta hoja (Al Shabab), loooih. Mleta hoja kabadili jina ndipo ujipange upya kutangaza!
Mmmm watu wanawezwa guswa na hilo hitajio la huyo msichana tajwa, na kutaka kutoa msaada unaohitajika. Tatizo liko kwenye hilo jiba la mleta hoja (Al Shabab), loooih. Mleta hoja kabadili jina ndipo ujipange upya kutangaza!