GE2025 Mshauri wa Rais, Dkt. Fabian Madele achukua fomu Dodoma Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

MHP

Senior Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
121
Reaction score
218
Mshauri wa Rais, Dkt. Fabian Madele amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea jimbo la Dodoma Mjini.

Leo chama hicho kimefungua pazia kwa makada wake kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania Ubunge na Udiwani.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…