Mshana Witch project

Ila Mshana sijui hata nikuweke category ipi, kumbe mpaka kuroga unajua
 
Kwakuwa Mungu wetu ni mmoja na katika yeye kila goti litapigwa kwakuwa msalaba ndio asili ya mema yote na hapo ndio tunatua mizigo yetu yote ikiwemo ushirikina ndumba na ulozi

hakuna mtu mbaya asiye na mazuri yake wala mzuri asiye na mabaya yake. Wote tunayo aidha tunayafanya kizani au hadharani, kinachojalisha ni kuelewa state uliyopo na kufanya mabadiliko bhasi maana Mungu si kama mwanadamu katika hukumu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…