kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Mshamu aliyekuwa mgombea udiwani kwa tiketi ya cuf ni mtu mahiri mchapakazi mtetezi wa wanyonge hapa ulanga.kwa kuwa cuf imekufa njoo cdm kwanza hustaili kugombea udiwani gombea ubunge mama selina kombani hana ubavu wa kupambana nawe2.tuna kero kibao amefumbia macho mahenge maji yanatiririka milimani lakini majumbani maji hakuna mahenge haijawahi kukosa mvua lakini ni moja ya wilaya zenye njaa tanzania.mlo wa mwanchi wa mahenge ni mlo mmoja kwa cku utazani hakuna mbunge.