Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

Kadri miezi inavyozidi kusonga mbele ktk awamu hii utadhani mishahara nayo inapungua. Kama mwezi uliopita ilikuwa inakufikisha siku 20. .mwezi ujao hazifiki hizo siku.

Haya Uncle Magu tutumbukizie hiyo salary tukamlipe Deni lake Mangi tuanze tena kukopa.
 
Tuacheni utani maisha haya ukitegemea tu mshahara utaishia kukopa kila siku.
Na biashara nyingi saiv ndugu yangu sio kama kipindi kile cha JK hazitoki.
Ndo kwanza nyingi zinafungwa.
Kilimo unless uwe na mtaji mkubwa ili uweze kudiversify ktk zaidi ya zao moja ili ikifeli zao moja either kwa soko bovu au sababu nyingine basi zao lingine likubebe. Lasivyo ukienda kichwa kichwa kuna hatari ya kuangukia pua kama kilimo cha nyanya ilivyokuwa last year
 
Kadri miezi inavyozidi kusonga mbele ktk awamu hii utadhani mishahara nayo inapungua. Kama mwezi uliopita ilikuwa inakufikisha siku 20. .mwezi ujao hazifiki hizo siku.

Haya Uncle Magu tutumbukizie hiyo salary tukamlipe Deni lake Mangi tuanze tena kukopa.
:D:D:D
 
Na biashara nyingi saiv ndugu yangu sio kama kipindi kile cha JK hazitoki.
Ndo kwanza nyingi zinafungwa.
Kilimo unless uwe na mtaji mkubwa ili uweze kudiversify ktk zaidi ya zao moja ili ikifeli zao moja either kwa soko bovu au sababu nyingine basi zao lingine likubebe. Lasivyo ukienda kichwa kichwa kuna hatari ya kuangukia pua kama kilimo cha nyanya ilivyokuwa last year
Mbaazi this year.
Na korosho nazo hazizid 1500/-
 
Mkuu haujawekwa kwenye kundi la watumishi hewa utaupata tu tulia
 
Magu jana alisema watumishi mnalalamika maisha magumu wakati mshahara ni ule ule...akasema mnaolalamika ndio wapiga dili na mlizoea shortut...

Magu amesahau kwamba ameongeza makato ya loan board na nyongeza ya mshahara hakuna...

Acha akili ziwaingie maana mlichagua wenyewe...
 
Back
Top Bottom