technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,554
- 57,848
Wakuu nimeambiwa mshahara wa Clement Mzize ni Milioni 40 kwa Mwezi
Ndiye mchezaji ghali zaidi Tanzania?
Hongera Ghalib Said Mohamed (GSM),
Pia Mtangazaji wa Azam TV, Mzinga jana alidokeza hivyo.
Kama ni hivyo hongera sana kwa wachezaji wazawa sasa mpira unalipa.
Ndiye mchezaji ghali zaidi Tanzania?
Hongera Ghalib Said Mohamed (GSM),
Pia Mtangazaji wa Azam TV, Mzinga jana alidokeza hivyo.
Kama ni hivyo hongera sana kwa wachezaji wazawa sasa mpira unalipa.