Hahahaahaa nimecheka maana nimejigundua siko peke yangu.............. Hivi hawa hazina hawaruhusiwi kuapply social analysis kweli?... walipaswa wajue sikukuu ya Pasaka imetuacha weupeeee... so wangetulipa mapema kwa kweli. (Ila ni funzo usiwe na chanzo kimoja cha income)