Hapo utapata madem wenye akili kama zako za kuandika xaxa badala ya sasaKinachokukosesha mademu ni mameseji unaandika kizee blaza mfano mpenzi andika mpz , uko wapi andik uk wp, I love you andika I lv u, I miss you andika I mc u, sasa andika xaxa
Daaaaahhh kwa uandishi huo Mimi sitapata demu.
Ila Tigo Pesa na mpesa ndio dawa pekee ya mademu wote Tanzania
siwezi kwakweli kuandika kama slay qeen ivyo.Kinachokukosesha mademu ni mameseji unaandika kizee blaza mfano mpenzi andika mpz , uko wapi andik uk wp, I love you andika I lv u, I miss you andika I mc u, sasa andika xaxa
Dah...nikutumie?Meseji pendwa!ukiziona unasisimka
Dah...nikutumie?
Niliwakataza wapwa zangu kutumia aina hiyo ya uandishi pindi wawasilianapo na mimi kwa njia ya msg
Sms za hivyo mala nyingi zinaandikwa2 na vyangudoa au wanafunzi2 wa vyuo waliojigeuza makahaba.
'Mchicha wa nyongeza'!unakuta dume zima na midevu yake kama mchicha wa nyongeza anaandika 'jomoni' badala ya jamani.
TAKATAKA
Naanzaje kuandika hivyo wakati demu Mwenyewe anaandika
"Umerara au unakura mupenzi"
Wht the faki ?Kinachokukosesha mademu ni mameseji unaandika kizee blaza mfano mpenzi andika mpz , uko wapi andik uk wp, I love you andika I lv u, I miss you andika I mc u, sasa andika xaxa
Kuna wasengerema unakuta wanaandikaunakuta dume zima na midevu yake kama mchicha wa nyongeza anaandika 'jomoni' badala ya jamani.
TAKATAKA