Msenya ni watu wa kabila gani?

Mapopoma ndiyo wamejaa JF Mkuu, na ndio wenye hela, kwahiyo haitasaidia kitu.
 
Mapopoma ndiyo wamejaa JF Mkuu, na ndio wenye hela, kwahiyo haitasaidia kitu.
Halafu ww si ndie yule unaeombaomba kule Kwenye uzi wako sijui Unajifanya Unaweza kufanya Kazi zaidi ya ya wasomi

Ivi unajua wana JF wanakuchora tu hapa, kwanza nikujulishe tu wanaJF huwa sio wakurupukaji, yaani ulete shida zako sijui Unataka Ajira Halafu unakuwa na majibu ya hovyo hovyo hakuna atakae kusaidia

Utaishia hivyo hivyo, so take care Mzee.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…