Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,616
- 31,153
Nandio ukweli kina bwana yule watakwambia ni collateral damage hua inatokeaHamas hawezi kuuwa foreign hili iweje Magaidi wa Israel wamemua wenyewe wameona ngoja watengeneze cinema kuwachafua Hamas.
Wale mateka wao watatu walishasema wameokota miili yao kumbe Hamas walikuwa wanawarekodi. Waliwambia hapa tupo kwenye mapambano mnaweza kufa cha kufanya hapa tunawaachia mjisalimishe shikeni vitambaa vyeupe nyanyueni mikono njoo haya nendeni hawakufika mbali walichezea riaasi za kutosha mmoja akawa analia huku anaongea kiHebrew majuzi tena wameuwa wanawake wawili Kanisa alikuwa anachungulia dirisha kulizwa wanasema walikuwa wafuasi wa Hamas.
Mtajua ukweli muda si mrefu Hamas kama watakuwa na huo mwili wa Joshua tatizo watu wanajifanya wana uchungu kumbe unafiki wakijua kama kauliwa na Israel hamna hata mmoja atanyanyua mdomo wake humu nawajua vizuri Waisrael weusi wa JF.
Mtiririko nimeuona kwakiasi fulaniChukua muda kidogo kufuatilia mjadala Kwa utulivu. Umeona mtiririko wa majibu ya mwenzako?
ulishuhudia akitekwa ama kuuwawa na hamasMsemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.
Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?
Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.
Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?
unajuaje ikiwa alijiongeza kupigana vita kuitetea taifa teule la MunguIssue ya joshua imekaa kimkakati sana naona kwa namna flan Israel wanaitumia kijasusi. Japo kweli ksuwawa na hamas ila nyuma yake kuna siri kubwa.
Umekubaliana nanani?Kwa hiyo leo tunakubaliana kuwa wale walikuwa ni Hamas?
Serekali nyingi za afrika hazina uchungu wala kuthamini raia wake.Kwanini unakwepa kujibu maswali yangu?
Propaganda hizi mkuuHujaelewa maswali yangu. Mwili wa Joshua inadaiwa umeuwawa na hamas tarehe 7.10.2023 ndani ya nchi ya israeli wakati wanafanya tukio la kuuwa wale waisraeli 1400 tunaoambiwa waliwaua sasa nauliza je hamas baada ya kumuua waliamua kuondoka naye kwenda Gaza? Na je kulikua na umuhimu gani wa kuondoka na mwili wa Joshua na kuacha ile miili mingine waliyoua pale kwenye tukio?
Nataka kujua wale waliomuua walikuwa ni Hamas au sio?Umekubaliana nanani???
Nimekujibu swali lako lakuvaa boxer ya kijeshi ama hata kitambaa cha kijeshi waupande wapili akikuona na kitambaa ama nguo ya kijeshi hata kama utakua ni shekhe padri askof ustadh
Basi kwaile kua kwako na nguo ya kijeshi kama ulivyo sema kule juu unakua tayari umejieka kwenye engo yakupigwa shaba ama kudhuriwa
Nipe ushahidi kama wale hamas mie sijawahi kukubali kama wale hamas na wala sitakataa kama wale hamas kukiwa tu naushahidi
Kwanza juu kule ulileta swala la msemaji wa hamas kusema ama kuhalalisha raia wa kigeni kuuwawa ili kutuma ujumbe gani sijuiUnaelewa hata kinachojadiliwa hapa kweli?
Mimi na wewe hatujuiNataka kujua wale waliomuua walikuwa ni Hamas au sio?
ulishuhudia akitekwa ama kuuwawa na hamas
alitumikaje sasa hapo, hizo picha ni za watu wawili tofauti, labda kama uan mamcho ya kigaidi. huyo polisi ni Myahudi raia wa Israel mwenye asili ya ethiopia. Israel kuna wayahudi weusi kama 160,000 raia wapo serikalini na jeshini. sasa watoto wa mood mnakuja hapa ili kuwasafisha hamas, mnasema hiyo picha ya joshua ndio huyo huyo askari. akili zenu za kipumbavu sana hata sijawahi kuona. no wonder Israel anawapiga sana siku zote. angalia hapa afu sema kama huyu ni mtu mmoja.Kama alitumika kuwasaidia mazayuni unategemea Hamas wamwangalie tu! Auwe watoto/civilians kisha hamas waseme ah huyu ni mTanzania tumuache tu!!
Naomba unisikilize mkuu! Thibitisha kama ni hamas ndio wamemuuwa!!
wao wameamua kuzusha huu uzushi ili kuwafanya wapalestina waonekane hawajamuua Mtanzania. wakatafuta picha kwenye mtandao wakaweka. magaidi wana shida sana sana.Mbona picha ni za watu wawili tofauti.... Nikiwaambia JF inazidi kuwa na members vilaza mnaanza kulalamika.
Those are two different people.
Israel walishatangaza mara kadhaa kwamba hamas wanashikilia miili ya watu wao. pia, kama umeangalia ile clip, unaona wale ni waisrael, au unabisha kwasababu dini yako inasema ubishe?Mkuu punguza mihemko. Jibu swali langu la msingi sana kama joshua aliuliwa na hamas tarehe 7.10.2023 miongoni mwa wale 1400 kwanini Hamas waamue kuuchukua mwili wa Joshua tu mateka kwenda nao Gaza? Je mwili bado upoq salama haujaoza?
sura zinataka kufanana? kweli upo na akili timamu, huoni unajiaibisha? wanafanana nini sasa hapo? mmoja anaonekana mzee kabisa na mwingine ni kijana. na kwa taarifa yako, hao vijana walikuwa wameshakaa wiki mbili tu na walipelekwa Israel na serikali ya mama (ambaye ni muislam) na mawazili wawili, Bashe ambaye ni msomali/mwislam na Makamba anajua pia hili. kweli hamjui hata kutengeneza vitu feki,kwamba hawa ni mtu mmoja. mtakuwa wajinga hadi lini ninyi?hiyo dini mbona inawafanyaga wapumbavu kama manguruwe ninyi?We ni mpumbavu, ina maana huoni hizo sura zinataka kufanana? masuala ya ugaidi yameingiaje?
hivi kwa akili yako hilo ni swali la kutuuliza sisi au kuwauliza Israel, si uende ukawaulize waliomuua? ukiangalia hii clip ya October 7, unaona hawa wanaoonekana ni wanajeshi wa Israel? si hamas hawa? sikiliza hata wanavyoongea, wanaongea kiarabu.https://twitter.com/i/status/1736521697505824796Sawa walienda kwa magari na wakauwa watu 1400 .swali ni kwanini wa uchukue mwili wa Joshua tu kuuteka kwenda nao Gaza? Kwanini hawakuchukua na miili ya wale wengine waliowaua?
Kiherehere iko sasa, Vita ya Mungu si ya damu na nyama au sisi ndo hatujui buana?unajuaje ikiwa alijiongeza kupigana vita kuitetea taifa teule la Mungu
Sijakataa mkuu mimi swali langu kwanini wamuuwe waondoke na mwili wake? Mbona wengine waliwateka wakiwa hai na waliowauwa hawakuchukua miili yao?