EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Aliyekuwa Makamu M/kiti wa CCM na Spika mstaafu Pius Msekwa amesema Chama cha Mapinduzi kimejiandaa kwa yote kushinda au kushindwa kwa vile hakitakuwa chama cha kwanza barani Afrika kushindwa.
Ameongeza kuwa CCM isibweteke kwa kuwa ni chama kikongwe, amesema kuna vyama vilivyopigania uhuru kama KANU na vingine vilijikuta vikiangushwa na vyama vidogo na vichanga kwa kusimamisha wagombea wasiokubalika.
Chanzo: Mtanzania.
Ameongeza kuwa CCM isibweteke kwa kuwa ni chama kikongwe, amesema kuna vyama vilivyopigania uhuru kama KANU na vingine vilijikuta vikiangushwa na vyama vidogo na vichanga kwa kusimamisha wagombea wasiokubalika.
Chanzo: Mtanzania.