Msc Accounting & Finance Vs MBA Corporate Management, Ipi bora?

Msc Accounting & Finance Vs MBA Corporate Management, Ipi bora?

Mark Francis

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
605
Reaction score
310
Mwenye uzoefu kidogo katika mambo hayo naomba anisaidie. Kozi ipi ni nzuri kusoma Mzumbe Universitykati ya Msc Accounting & Finance na MBA Corporate Management kwa mtu ambaye tayari ana ACCA au CPA? Uzuri katika maana ya kupata ajira kirahisi, uwezo wa kujiajiri, applicability na releveance kwa hapa Tanzania.

Nimeuliza hapa kwa sababu najua kuna watu waliopitia hizo fields na pia wana uzoefu nazo. Kama huna uzoefu nazo au huna information kuhusu hilo, naomba ukae kimya.

Thanks in advance!
 
eeh
Mwenye uzoefu kidogo katika mambo hayo naomba anisaidie. Kozi ipi ni nzuri kusoma Mzumbe Universitykati ya Msc Accounting & Finance na MBA Corporate Management kwa mtu ambaye tayari ana ACCA au CPA? Uzuri katika maana ya kupata ajira kirahisi, uwezo wa kujiajiri, applicability na releveance kwa hapa Tanzania.

Nimeuliza hapa kwa sababu najua kuna watu waliopitia hizo fields na pia wana uzoefu nazo. Kama huna uzoefu nazo au huna information kuhusu hilo, naomba ukae kimya.

Thanks in advance!
eeh bwanaa... hukupata msaada kabisa? ulifanikiwa kusoma ipi kati ya hizo?
 
Kupata ajira kirahisi!!!! hivi utasomaje masters bila kuwa na ajira au uzoefu tu wa ulichokisoma undergraduate? au ukosefu wa ajira ndo unasababisha kukimbilia kusoma masters. hebu tupe mrejesho ndg ulifanikiwa kusoma nini kati ya hivyo?
 
Mtu ana degree, CPA na sasa anataka kusoma masters ila anawaza kuajiriwa tu! Elimu ya bongo inashangaza...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom