Mbushuu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 2,172
- 3,392
Huyu jaguar asije kurudi tena Tz ikiwezekana idara ya uhamiaji imzuie kukanyaga bongoland.Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!