Hahahaa...... Umesikitika Ngoma amekusahau?!!!Angoze na dada yako kwenye majina ulopendekeza
Kama anatata mwanamke anayejielewa ni MONALISA tu
mabeto labda, ila hao wengine hovyo kabisaMwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!
Hahahaa.......!mabeto labda, ila hao wengine hovyo kabisa
Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!
Hahahaa........!Awachukue hao watatu na Bebi Kabae tutampa kama nyongeza
Kama anajielewa mbona ndoa yake na George Tyson ilimshindaKama anatata mwanamke anayejielewa ni MONALISA tu
Hahahaa...... Umesikitika Ngoma amekusahau?!!!
🙏🙆🙆🙆Mariam biriani anafaa pia