Msanii na mbunge mh Jaguar kutoka Kenya aja nchini kutafuta mchumba, Clouds wawapendekeza Mabeto, Diva na Wema Sepetu

Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.

Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.

Source Clouds 360!
mabeto labda, ila hao wengine hovyo kabisa
 
Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.

Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.

Source Clouds 360!

Awachukue hao watatu na Bebi Kabae tutampa kama nyongeza
 
Write your reply...
ndugu zangu
hao watu tajwa hapo juu wakitaka kuolewa mnishtue!
nna buku la mahari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom