Wengi wanaoingia bongo movie,hawana elimu ya ya kutosha,wengi ni waliofeli kidato cha NNE,kiasi kwamba,ufahamu wao,wa mambo ni kidogo sana,hawawezi kutofutisha,mazingira ya msibani,kwenye kupokea tuzo,au harusini,ili wavae mavazi kulingana na mazingira na shughuri wanayoudhuria,
Ni mwendo wa kuuza sura tu,nguo za ajabu,uzungu mwingi!!,
Kwanini msivae kanzu,suti,kwa wadada tupieni makanga ya kutosha,na miwani ya jua kidogo,harafu umapepe muache,hapo ni msibani,hatukuja,kuigiza,wala kungaria mitikisiko ya misambwanda,
Mwenzenu richa ya umaarufu,alikuwa hana kitu (pesa ya kutosha kulingana na hadhi yake),angekuwa vzr,asinge lazwa ki hospitari cha kata mama ngoma,angeenda regency,tmj,au aghakan,au hata Nairobi,Leo Dada yetu angekuwa hai,hili nalo mlitafkari,sio kukenua meno,wakati mond anamsalimia Kiba
Wee wee ht ningekuwa mm ningeflash back ningezimia tu si kwa tako hilo la masogawiseHuyu alikuwa bwana ake kwa miezi 11 mkuu. Kama fantasy alishazitimiza and beyond. Anasema marehemu alimpelekaga kupima ngoma Sinza Palestina hivyo alimla hadi kaVu you know
Hilo linawezekana kabisa kwani inategemea na kiwango cha kuzimia!uliza daktari yoyote atakwambia kuwa hali hiyo inawezekana kabisa na wala sio usaniiWana Jf Wasalaam
Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha maswali ni kitendo cha msanii huyo kuendelea kushikilia kwa nguvu kitambaa chake as if kilikuwa na pesa huku yeye akiwa amelegea kabisa huku idris akimvuta kama mbuzi anaye kwenda kuchinjwa....
Hili kweli lilikuwa igizo au alikuwa ameishiwa nguvu kweli?
Msanii mwenzie Irene Paul ameoneshwa kukerwa sana na igizo lilofanywa na wasanii wenzie wakisaidiana na Idris Sultan.
WasalaamView attachment 753646View attachment 753647
Mkuu isidingo ni habari nyingine mule ndani wote vipajiwaigizaji wa Isidingo wanalipwa Mishahara ya maana kabisa kama wafanyakazi wakubwa tu.Muigizaji anayelipwa kiasi kidogo zaidi huwa hakipungui milioni 7 za kitanzania kwa mwezi.