Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Inashangaza na kusikitisha kwamba mtu anajifanya kuzimia wakati mkono una nguvu za kushika kitambaa cha mkononi (leso).
Kuna msanii mwingine anajifanya ameshindwa kuendelea kuimba akaangua kilio.
Ni ajabu wasanii wetu kufanya kama wako kazini kwao kwenye msiba wa mwenzao.
Kwenye msiba wa Kanumba wasanii waliunda kamati ya mazishi ambayo sehemu kubwa waliiba michango ya waombolezaji.Lakini safari hii wasanii baada ya kuona hakuna cha kuiba wameamua kufanya usanii (kwenda location).
Hawa jamaa bana
IMG-20180423-WA0005.jpg
 
Ahahaha haha kikiiii kiki kikiiii kiki hizoooo kiki kikiiii kiki hizoooo kiki kikiiii kiki
 
inawezekana aliishiwa nguvu tu hata mie nilishindwa kufika kwenye jeneza la baba yangu mdogo ilibidi nibebwe maana nilikuwa natetema tu
 
Sijawahi kupendezwa na matukio au kazi ya hawa wanaitwa Bongo Movie. Mara nyingi huwa nastaajabishwa na vitendo vyao na kazi zao. Kwa mfano, mtu anaigiza kama jambazi lakini cha ajabu, anapoingia ndani ya nyumba anayoivamia au kuifanyia ujambazi, unakuta mtu huyo anavua viatu.

Kuna movie moja niliwahi kuiona zamani sana, wakati jamaa wanafanya uigizaji, ikasikika sauti kwa mbali ikisema, 'muwe makini msivunje vitu mnapoigiza'.!!

Kwenye hii picha inaonesha kuna mtu kazimia au kapoteza fahamu 'unconsciousness' kitendo cha kuzimia au kupoteza fahamu maana yake ni kwamba, viungo vya mwili navyo vinapoteza utendaji kazi wake wa kawaida kwa wakati fulani. Sasa ukiangalia picha hii kwa umakini, utagundua jamaa inaedaiwa na kuaminika kazimia, ameshika handkerchief yake vizuri sana. Je, hii ni kawaida kweli au ndiyo uigizaji hata kwenye misiba?

Bongo Movie, jitathiminini, maana wengine hata mavazi mliovaa si mavazi ya kwenda msibani. It's like mnaenda kwenye maonesho, mnaatia aibu. Igeni kwa wenzenu akina Denzil Washington, Will Smith, Arnold Schwarzenegger na wengineo. Wanapokuwa kwenye occasion kama hizi, basi huvaa kiheshima, siyo nyie mnavaa vijisuruali kama mnacheza kiduku. Mmeniboaa sana, na mnazidi kunifukuza badala ya kunivuta kwenye tasnia yenu.
bongomovie.jpg
 
Sijawahi kupendezwa na matukio au kazi ya hawa wanaitwa Bongo Movie. Mara nyingi huwa nastaajabishwa na vitendo vyao na kazi zao. Kwa mfano, mtu anaigiza kama jambazi lakini cha ajabu, anapoingia ndani ya nyumba anayoivamia au kuifanyia ujambazi, unakuta mtu huyo anavua viatu.

Kuna movie moja niliwahi kuiona zamani sana, wakati jamaa wanafanya uigizaji, ikasikika sauti kwa mbali ikisema, 'muwe makini msivunje vitu mnapoigiza'.!!

Kwenye hii picha inaonesha kuna mtu kazimia au kapoteza fahamu 'unconsciousness' kitendo cha kuzimia au kupoteza fahamu maana yake ni kwamba, viungo vya mwili navyo vinapoteza utendaji kazi wake wa kawaida kwa wakati fulani. Sasa ukiangalia picha hii kwa umakini, utagundua jamaa inaedaiwa na kuaminika kazimia, ameshika handkerchief yake vizuri sana. Je, hii ni kawaida kweli au ndiyo uigizaji hata kwenye misiba?

Bongo Movie, jitathiminini, maana wengine hata mavazi mliovaa si mavazi ya kwenda msibani. It's like mnaenda kwenye maonesho, mnaatia aibu. Igeni kwa wenzenu akina Denzil Washington, Will Smith, Arnold Schwarzenegger na wengineo. Wanapokuwa kwenye occasion kama hizi, basi huvaa kiheshima, siyo nyie mnavaa vijisuruali kama mnacheza kiduku. Mmeniboaa sana, na mnazidi kunifukuza badala ya kunivuta kwenye tasnia yenu.
View attachment 754022
Wengi wanaoingia bongo movie,hawana elimu ya ya kutosha,wengi ni waliofeli kidato cha NNE,kiasi kwamba,ufahamu wao,wa mambo ni kidogo sana,hawawezi kutofutisha,mazingira ya msibani,kwenye kupokea tuzo,au harusini,ili wavae mavazi kulingana na mazingira na shughuri wanayoudhuria,
Ni mwendo wa kuuza sura tu,nguo za ajabu,uzungu mwingi!!,
Kwanini msivae kanzu,suti,kwa wadada tupieni makanga ya kutosha,na miwani ya jua kidogo,harafu umapepe muache,hapo ni msibani,hatukuja,kuigiza,wala kungaria mitikisiko ya misambwanda,
Mwenzenu richa ya umaarufu,alikuwa hana kitu (pesa ya kutosha kulingana na hadhi yake),angekuwa vzr,asinge lazwa ki hospitari cha kata mama ngoma,angeenda regency,tmj,au aghakan,au hata Nairobi,Leo Dada yetu angekuwa hai,hili nalo mlitafkari,sio kukenua meno,wakati mond anamsalimia Kiba
 
Hapa ndipo ile hotuba ya Malema kwenye msiba wa Winnie Mandela inahitajika kuliko wakati mwingine ule: "......we are waiting for your signal,Mama......."
 
Back
Top Bottom