Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Wengi wanaoingia bongo movie,hawana elimu ya ya kutosha,wengi ni waliofeli kidato cha NNE,kiasi kwamba,ufahamu wao,wa mambo ni kidogo sana,hawawezi kutofutisha,mazingira ya msibani,kwenye kupokea tuzo,au harusini,ili wavae mavazi kulingana na mazingira na shughuri wanayoudhuria,
Ni mwendo wa kuuza sura tu,nguo za ajabu,uzungu mwingi!!,
Kwanini msivae kanzu,suti,kwa wadada tupieni makanga ya kutosha,na miwani ya jua kidogo,harafu umapepe muache,hapo ni msibani,hatukuja,kuigiza,wala kungaria mitikisiko ya misambwanda,
Mwenzenu richa ya umaarufu,alikuwa hana kitu (pesa ya kutosha kulingana na hadhi yake),angekuwa vzr,asinge lazwa ki hospitari cha kata mama ngoma,angeenda regency,tmj,au aghakan,au hata Nairobi,Leo Dada yetu angekuwa hai,hili nalo mlitafkari,sio kukenua meno,wakati mond anamsalimia Kiba

Nakubaliana na wewe sana.Mimi huwa naangalia Isidingo mara kwa mara.Kwa kweli kuna tofauti kubwa sana.Waigizaji wengi kwenye Isidingo wana elimu hadi za chuo kikuu katika mambo wanayoigiza.
Hata teknolojia ya upigaji picha huwa inachangia sana kunogesha maigizo.Namna picha inavyovutwa hususan katika tukio la kuonyesha hisia kama vile kukasirika au kufurahi huongeza sana mvuto.
Na waigizaji wa Isidingo wanalipwa Mishahara ya maana kabisa kama wafanyakazi wakubwa tu.Muigizaji anayelipwa kiasi kidogo zaidi huwa hakipungui milioni 7 za kitanzania kwa mwezi.
 
Huyu alikuwa bwana ake kwa miezi 11 mkuu. Kama fantasy alishazitimiza and beyond. Anasema marehemu alimpelekaga kupima ngoma Sinza Palestina hivyo alimla hadi kaVu you know
Wee wee ht ningekuwa mm ningeflash back ningezimia tu si kwa tako hilo la masogawise
Jamaa aliflash back emotionaly akapoteza hadi energy
 
Mimi ninachoshangaa mwanaume kuzimia kisa kifo, inawezekana kweli?
 
Amesema hakuzima ila aliishiwa nguvu miguu ilikufa ganzi lkn alikua akijitambua sema nguvu ndo ziliisha.....na hiyo hali humtokea kila mtu anaefiwa na mtu wake wa karibu.
 
Ndio Watanzania tulivyo, kuhukumiana kwenye social media bila kuruhusu muhusika kujieleza. Yeye na hao waliombeba wameshathibitisha kuwa hakuzimia but aliishiwa nguvu tu.
 
Wana Jf Wasalaam

Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha maswali ni kitendo cha msanii huyo kuendelea kushikilia kwa nguvu kitambaa chake as if kilikuwa na pesa huku yeye akiwa amelegea kabisa huku idris akimvuta kama mbuzi anaye kwenda kuchinjwa....

Hili kweli lilikuwa igizo au alikuwa ameishiwa nguvu kweli?

Msanii mwenzie Irene Paul ameoneshwa kukerwa sana na igizo lilofanywa na wasanii wenzie wakisaidiana na Idris Sultan.

WasalaamView attachment 753646View attachment 753647
Hilo linawezekana kabisa kwani inategemea na kiwango cha kuzimia!uliza daktari yoyote atakwambia kuwa hali hiyo inawezekana kabisa na wala sio usanii
 
waigizaji wa Isidingo wanalipwa Mishahara ya maana kabisa kama wafanyakazi wakubwa tu.Muigizaji anayelipwa kiasi kidogo zaidi huwa hakipungui milioni 7 za kitanzania kwa mwezi.
Mkuu isidingo ni habari nyingine mule ndani wote vipaji
 
Dada Irine poul,hakukosea alicjoongea ni kweli,kuna watu wanapenda sana kuigiza hata kwenye vitu ambavyo viko serious
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom