Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 944
- 545
Inashangaza na kusikitisha kwamba mtu anajifanya kuzimia wakati mkono una nguvu za kushika kitambaa cha mkononi (leso).
Kuna msanii mwingine anajifanya ameshindwa kuendelea kuimba akaangua kilio.
Ni ajabu wasanii wetu kufanya kama wako kazini kwao kwenye msiba wa mwenzao.
Kwenye msiba wa Kanumba wasanii waliunda kamati ya mazishi ambayo sehemu kubwa waliiba michango ya waombolezaji.Lakini safari hii wasanii baada ya kuona hakuna cha kuiba wameamua kufanya usanii (kwenda location).
Kuna msanii mwingine anajifanya ameshindwa kuendelea kuimba akaangua kilio.
Ni ajabu wasanii wetu kufanya kama wako kazini kwao kwenye msiba wa mwenzao.
Kwenye msiba wa Kanumba wasanii waliunda kamati ya mazishi ambayo sehemu kubwa waliiba michango ya waombolezaji.Lakini safari hii wasanii baada ya kuona hakuna cha kuiba wameamua kufanya usanii (kwenda location).