Msanii Harmo Rapper aungwe mkono

Leak

Platinum Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,942
Reaction score
43,598
Wasalaam wana jamvi...
Kwakweli vijana wetu wanajua kutumia fursa kwakweli kuna msanii mchanga ana jiita harmo Rapper ana fanana sana na harmonize hasa harmonize yule ambaye kabla hajaanza kupaka poda..
Kwakweli kijana huyu anajua Kurap...ila kwenye swala la kuimba ana hitaji kupewa muda kidogo labda Harmonize aanze kumsaidia...

Kwakweli alichonifurahisha ni kuanza kutumia fursa ya kufanana na harmonize kuanza kuimba nami naamini anacho kihitaji atakipata hata kama hatofanikiwa kwenye kuimba basi atafanikiwa kwingine...
Kingine alichoniacha hoi kwenye wimbo wake amemtafuta binti anayetaka kufanana na wolper nakumtumia...

Sijafanikiwa kuchukua picha yake..kwakweli kijana ana hamu sana ya kutoka...apewe ushirikiano.
 
Aliniachaga hoi aliposema mfanano wake na harmonize unamrahisishia sana kupata madem hahaha hawa madem hawa
 
Safi sana..anahitaji pongezi..mm alinifuraisha pale Sammisago alipomwambia avue miwani ilibwatu waone mfanano..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…