MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,784
Nimeanza kumfuatilia huyu jamaa tokea kitambo sana lakini, tangia namfahamu sijawahi kuona ameheribu kazi. Kuna wasanii wenzake kama Mario, Omarion, Young Lloyd na Bobby Valentino walivuma sana lakini wakapotea kwenye muziki. Lakini kadiri siku zinavyoenda huyu jamaa naona anazidi kukaza tu na akishirikishwa kwenye Collabo huwa haaribu kazi hata kidogo.
Kinachonishangaza ni kwamba anaimba sana lakini hata upewaji wake tuzo kubwa kama Grammy umekuwa ni hafifu sana. Kuna nyimbo zake ukizisikiliza utabaki mdomo wazi lakini ndiyo vileeeee.
Tatizo linakuja kuwa ni nini ??? Kuna huu wimbo mpya ameshirikishwa na Lil Dicky umehit sana na ubunifu uliutumika humu ndani umekuwa mkubwa kweli.
Palantir
Kinachonishangaza ni kwamba anaimba sana lakini hata upewaji wake tuzo kubwa kama Grammy umekuwa ni hafifu sana. Kuna nyimbo zake ukizisikiliza utabaki mdomo wazi lakini ndiyo vileeeee.
Tatizo linakuja kuwa ni nini ??? Kuna huu wimbo mpya ameshirikishwa na Lil Dicky umehit sana na ubunifu uliutumika humu ndani umekuwa mkubwa kweli.
Palantir