Huyu mbona mzee...wee naye kwa kula mama zako. Hapo ushamaliza kumtafuna naona anapaka lipstic yake kisha achomoe simubkwenye charger hapo mezani arudishe makombo ya halwaa kwa mmewe.
Kuwa na mpira sio kujua kuucheza
Wasukuma wana N'gombe wengi lakini mapishi ya michuzi ya Nyama hawajui
Mchele mzuri unalimwa Mbeya lakini wapishi wazuri wako Pwani