Msahara wa NMB

Madewa

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
467
Reaction score
192
Habari waungwana.

Samahani kwa mwenye kujua take home salary au range ya mshahara ya nmb kwa graduate anisaidie.

Natanguliza shukrani!
 
Habari waungwana...
Samahani kwa mwenye kujua take home salary au range ya mshahara ya nmb kwa graduate anisaidie.
Natanguliza shukrani!
Kuna mwana anakula kitu cha laki 8 ukijumlisha na maover time yao so ukitoa hapo kama elfu 70 hivi ya hao washkaj wa kodi na mapensions nini kinachobaki chako hikooo!!!:A S 465:
 
Kuna mwana anakula kitu cha laki 8 ukijumlisha na maover time yao so ukitoa hapo kama elfu 70 hivi ya hao washkaj wa kodi na mapensions nini kinachobaki chako hikooo!!!:A S 465:

Aksanteni sana wadau!
 
NMB pazuri kuna allowance kibao tafuteni tu ila nao wezi tu Bank ndipo sehemu yenye hela lakini wanalipa watumishi laki tano take home inauma sana bota uwe mwalimu tena unakuwa huru. Unalipwa laki tano bado haujala short. Poleni wafanyakazi NMB badilini fani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…