Msafisha mitaro akitoa uchafu eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam jana, bila kutumia vifaa maalum hali ambayo ni hatari kwa usalama wa afya yake. Wafanya usafi wengi wapo katika hatari ya kupata magonjwa kutokana na kutokuwa na vifaa maalum. Picha na Rafael Lubava
Kutokana na tafiti zilizofanyika hapa tanzania zilionyesha wafanyakazi wanaofanya kazi zakusafisha mji wengi wao wamekufa na TB na magonjwa yakuambukizwa!!OSHA ilikaliliwa ikisema wengi wanafanya kazi bila ya kuwa na nyenzo!!Hii ndiyo Tanzania!