Msafisha mitaro ahatarisha Afya yake

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,322
33,127
mtaro.jpg


Msafisha mitaro akitoa uchafu eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam jana, bila kutumia vifaa maalum hali ambayo ni hatari kwa usalama wa afya yake. Wafanya usafi wengi wapo katika hatari ya kupata magonjwa kutokana na kutokuwa na vifaa maalum. Picha na Rafael Lubava
 
Kutokana na tafiti zilizofanyika hapa tanzania zilionyesha wafanyakazi wanaofanya kazi zakusafisha mji wengi wao wamekufa na TB na magonjwa yakuambukizwa!!OSHA ilikaliliwa ikisema wengi wanafanya kazi bila ya kuwa na nyenzo!!Hii ndiyo Tanzania!
 
jamaa yupo comfortable kabisa....naona anahangaika kuuvuta mzoga wa mbwa ulionasa huko chini
 
Back
Top Bottom