Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,127
Msafisha mitaro akitoa uchafu eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam jana, bila kutumia vifaa maalum hali ambayo ni hatari kwa usalama wa afya yake. Wafanya usafi wengi wapo katika hatari ya kupata magonjwa kutokana na kutokuwa na vifaa maalum. Picha na Rafael Lubava