KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,849
Labda Nina gubu hivyo Kero kwa wengine! Lkn najiona kama msafiri kafiri ndani ya nchi ninayohubiriwa kuwa ni yangu,anaehubiri kuwa utendaji umeimarika kwangu namuona kama kipofu! Au labda Mimi? ya kuteta yapo lkn hawayateti,ukweli upo lkn hautafutwi ama hautendewi! kwa upande Fulani naweka dole gumba kama Alana ya kukubali kazi lkn kwa upande mwengine ndio huo wa msafiri kafiri ndani ya nchi yake! Ninavyo fahamu ni kuwa taarifa ni msingi mpana wa maendeleo hivyo zitafutwe ili maamuzi yachukuliwe. Umaskini hautoisha kwa dizaini mambo yanavyoenda,lbd la mwisho kukazia mkazi tafuta hela usiishi kikafiri.
Kama hujaelewa liwache wapo wanaotakiwa waelewe
Kama hujaelewa liwache wapo wanaotakiwa waelewe