DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndug Msafiri Angalieni Mpendu ambaye aliwahi kuwa Diwani wa Kata ya Marumbo, Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kisarawe katika uchaguzi ujao.
Hatua hii ni ishara ya dhamira yake ya kuendelea kuhudumia wananchi kwa uadilifu, uwazi, na maendeleo ya kweli.
Hatua hii ni ishara ya dhamira yake ya kuendelea kuhudumia wananchi kwa uadilifu, uwazi, na maendeleo ya kweli.