Kiba JF-Expert Member Joined Mar 23, 2012 Posts 459 Reaction score 62 Oct 23, 2015 #1 wandugu nimeibiwa kitambulisho changu na jina lipo kituoni nifanyeje?
Eng.Livingstone JF-Expert Member Joined Aug 29, 2013 Posts 880 Reaction score 227 Oct 23, 2015 #2 Wapigie tume ya Uchaguzi,then watakupa msaada
SUPER PREDATOR JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 2,093 Reaction score 725 Oct 23, 2015 #3 Kama wewe ni ukawa utakuwa umenisikitisha sana, yaani wananchi tunahangaika kuitoa ccm madarakani wewe unapoteza kichinjio wajameni.
Kama wewe ni ukawa utakuwa umenisikitisha sana, yaani wananchi tunahangaika kuitoa ccm madarakani wewe unapoteza kichinjio wajameni.
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,409 Reaction score 82,301 Oct 23, 2015 #4 SUPER PREDATOR said: Kama wewe ni ukawa utakuwa umenisikitisha sana, yaani wananchi tunahangaika kuitoa ccm madarakani wewe unapoteza kichinjio wajameni. Click to expand... Umeona eeh?Acha tu.
SUPER PREDATOR said: Kama wewe ni ukawa utakuwa umenisikitisha sana, yaani wananchi tunahangaika kuitoa ccm madarakani wewe unapoteza kichinjio wajameni. Click to expand... Umeona eeh?Acha tu.
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,249 Reaction score 3,070 Oct 23, 2015 #5 Watu wengine sijui wakoje unapotezaje kitambulisho ww ila km ccm poa nausikipate abadan