mgumu4real
Member
- Jul 5, 2013
- 11
- 4
Kuna mdada mmoja, anasema amependana na mkaka ambae ana mtoto japokuwa aliachana na mama wa mtoto kama miaka miwili iliyopita. anadai anaogopa kuendelea na huyo kaka kwa sababu anahic anaweza akarudisha moyo kwa m2 aliyezaa nae mtoto. mpeni ushauri jaman.....