Msaada!

Mkereketwa_Huyu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
10,588
Reaction score
7,956
Kwenu wana JF pamoja nawe Mh. waziri wa afya mtarajiwa MziziMkavu, kuna mdada hapa JF anaitwa P....., ananisumbua sana na mapigo ya moyo kila nikimuwaza na niko mbali na yeye. Kwa kweli sina nia mbaya naye japo nina mtu wangu, nifanyeje ili anielewe nia yangu kwake? Kila nikimdokezea kuvuna asali kwake ananipa majibu ambayo hata sijamuuliza. Sili, silali bali namfikiria yeye tu kila kukicha mpaka kushika keyboard naona mizengwe. Jamani niko mbali naye niokoeni na hili jahazi la mapenzi ya ukubwani.
 
Last edited by a moderator:
Pole na hilo sononeko , sasa si uvune asali kwa huyo ulienae , au yake ya nyuki wakubwa ? Funguka kaka mpigie !!!!
 
Sasa hujamtaja hata jina tutakuokoaje? Kafie mbele huko
 
huyo uliyenae ulilazimishwa?au unataka ukishampuliza na P umtelekeze kama kawaida yako?
 
P?!!!! Utakuwa unawaza sana PUNYETO wewe

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hulali?
Acha uongo wewe. Haya mambo ya usiku silali nakuota wewe tu bado yapo au hizi ni bange nibangue?
 

funguka usaidiwe unamaanisha Paloma au Preta?
 
Last edited by a moderator:
Hivi wanaume wa kizazi hiki wamekutwa na nini? Yaani kujiamini na kutongoza imekuwa ni kama zoezi la kuchinja kobe.
Utabaki unalialia hapa wenzako wanaendelea kumkamua huyo P.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…