kuna mdada anajirengesha kwangu ila mimi sina mpango nae
sasa jana usiku katuma sms ktk simu yangu akilalamika kwamba namtesa
ksababu najua ananipenda ndio maana namletea mapozi sasa kibaya zaidi wife ndio mtu wa kwanza kuiona sms ameniwashia moto akinituhumu kwamba nammega yule demu nimejaribu kumuelewesha hanielewi kabisa na ameshaenda kushitaki kwa wazee wangu kwamba mimi sio muaminifu ktk ndoa so jpili natakiwa ktk kikao na wazee.je waunwana mnanishaurije?
Katika kufanya counseling kuna wadada wanaumizwa sana mioyo yao na wanaume/vijana ambao wana-approach wakiwa ndani ya ndoa - wanaficha hawajaoa na kumweka mdada/mwanamke katika hali ya kujiona amepata mpenzi - wanafanya hivyo kwa nia mbali-mbali - wengine just for funny; wengine wakitaka kufanya mapenzi nje ya ndoa kwa tamaa zao; wengine kufurahia udanganyifu wa shetani ndani yao; wengine kukopa hela kwa hao wapenzi wakizua shida kubwa kubwa - kumbe ni utapeli etc.
ULIYEHITAJI MSAADA - uwe mwangalifu sana usiwe ukawa kwenye hili kundi mojawapo. HAIWEZEKANI MDADA AANZE KUKUAMBIA UNAMTESA MOYO WAKE KWA MAPENZI - JAMANI WANAWAKE NI VICHAA AU WANA AKILI TIMAMU?? HUYU DADA AMEKUPA MOYO WAKE NDIO MAANA ANAONA ANATESEKA - au anataka nini kwako??
Tuwe waangalifu sana kwani kile tupandacho kwenye maisha ndicho tutakachovuna. Dada apate namba aanze kutuma message za mateso?? Na kama WIFE wako ameenda hadi kwa wazazi - sio jambo la mara moja - UMEZOEA? USHAURI WA BURE NI KUMWAMINI YESU ABADILISHE MAISHA YAKO NA NDOA YAKO ITAKUWA YA FURAHA - OMBA MSAMAHA KWA HUYO DADA ULIYEMUUMIZA MOYO WAKE NA UMWAMBIE UNA MKE.
Mengi siku nyingine.
sasa jana usiku katuma sms ktk simu yangu akilalamika kwamba namtesa
ksababu najua ananipenda ndio maana namletea mapozi sasa kibaya zaidi wife ndio mtu wa kwanza kuiona sms ameniwashia moto akinituhumu kwamba nammega yule demu nimejaribu kumuelewesha hanielewi kabisa na ameshaenda kushitaki kwa wazee wangu kwamba mimi sio muaminifu ktk ndoa so jpili natakiwa ktk kikao na wazee.je waunwana mnanishaurije?
Katika kufanya counseling kuna wadada wanaumizwa sana mioyo yao na wanaume/vijana ambao wana-approach wakiwa ndani ya ndoa - wanaficha hawajaoa na kumweka mdada/mwanamke katika hali ya kujiona amepata mpenzi - wanafanya hivyo kwa nia mbali-mbali - wengine just for funny; wengine wakitaka kufanya mapenzi nje ya ndoa kwa tamaa zao; wengine kufurahia udanganyifu wa shetani ndani yao; wengine kukopa hela kwa hao wapenzi wakizua shida kubwa kubwa - kumbe ni utapeli etc.
ULIYEHITAJI MSAADA - uwe mwangalifu sana usiwe ukawa kwenye hili kundi mojawapo. HAIWEZEKANI MDADA AANZE KUKUAMBIA UNAMTESA MOYO WAKE KWA MAPENZI - JAMANI WANAWAKE NI VICHAA AU WANA AKILI TIMAMU?? HUYU DADA AMEKUPA MOYO WAKE NDIO MAANA ANAONA ANATESEKA - au anataka nini kwako??
Tuwe waangalifu sana kwani kile tupandacho kwenye maisha ndicho tutakachovuna. Dada apate namba aanze kutuma message za mateso?? Na kama WIFE wako ameenda hadi kwa wazazi - sio jambo la mara moja - UMEZOEA? USHAURI WA BURE NI KUMWAMINI YESU ABADILISHE MAISHA YAKO NA NDOA YAKO ITAKUWA YA FURAHA - OMBA MSAMAHA KWA HUYO DADA ULIYEMUUMIZA MOYO WAKE NA UMWAMBIE UNA MKE.
Mengi siku nyingine.