Habari zenu wana JF natumai mko poa sana.....................
Ombi langu ni kwamba naombeni msaada wa kujua interview za tanroads zinakuwaje je zinakuwa za oral au written ...... Tafadhalinni naombeni msaada wenu coz nsingependa kupoteza nafasi hii............ ASANTENI
Ombi langu ni kwamba naombeni msaada wa kujua interview za tanroads zinakuwaje je zinakuwa za oral au written ...... Tafadhalinni naombeni msaada wenu coz nsingependa kupoteza nafasi hii............ ASANTENI