fatherliva
Member
- Jun 11, 2022
- 18
- 24
DOGO ANA BCD KWENYE COMBINATION ANAWEZA KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA KAMA MTAHINIWA WA KUJITEGEMEA(PC)?
Sio kwamba inahitaji awe na principal passes 3, yaani C 3 bila kujali combination?? Kwamba hiyo BCD ingemsaidia ikiwa ana C nyingine ya somo lisilohusiana na combination?Yeah anaweza, Maximum huwa ni points 10, BCD ni point 9, anafanya bila wasiswasii
Sent using Jamii Forums mobile app
sina uhakika ila nasikia c3 ni kama unaingia shule kwa maana school candidate ila mtahiniwa wa kujitegemea ni kama ndugu alivyoainisha hapo juuSio kwamba inahitaji awe na principal passes 3, yaani C 3 bila kujali combination?? Kwamba hiyo BCD ingemsaidia ikiwa ana C nyingine ya somo lisilohusiana na combination?
Kigezo cha kwanza ni C3, Then katika combi yako min uwe na points 10 yaani AAA-CCD, mfano aliyepata Hist D Kisw C Engl C Civ C anaruhusiwa kusom HKL CCDSio kwamba inahitaji awe na principal passes 3, yaani C 3 bila kujali combination?? Kwamba hiyo BCD ingemsaidia ikiwa ana C nyingine ya somo lisilohusiana na combination?