Msaada

Msaada

Mbambamule

Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
7
Reaction score
15
Jaman habari za asubuh,nahitaji msaada wenu wa mawazo nimekosea kutoa pesa kwa wakala nikawapigia voda baada ya maongezi wakanambia ile ela imetolewa kwny namba ya huyo wakala niliokosea kwa msaada zaidi niende police na nimefika police wananambia hili swala mbona vodacom wanaweza limaliza wenyewe sisi hapa ingekua umekosea kutuma kwa mtu watu wa cyber wangehusika lakini kwasababu ni kwa wakala hao voda wanachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na wakala wake mkuu amfuatilie then km ataleta utata ndo swala liende police lkn sasa nmefka voda voda wananipga danadana.

Je kuna mtu ambae amewahi kutana na changamoto kama hii na aliisolve vipi ?Msaada plz
 
Jaman habari za asubuh,nahitaji msaada wenu wa mawazo nimekosea kutoa pesa kwa wakala nikawapigia voda baada ya maongezi wakanambia ile ela imetolewa kwny namba ya huyo wakala niliokosea kwa msaada zaidi niende police na nimefika police wananambia hili swala mbona vodacom wanaweza limaliza wenyewe sisi hapa ingekua umekosea kutuma kwa mtu watu wa cyber wangehusika lakini kwasababu ni kwa wakala hao voda wanachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na wakala wake mkuu amfuatilie then km ataleta utata ndo swala liende police lkn sasa nmefka voda voda wananipga danadana.

Je kuna mtu ambae amewahi kutana na changamoto kama hii na aliisolve vipi ?Msaada plz
Mtafute afisa mwandamizi hapo hapo voda hilo suala ni kweli voda wana uwezo nalo wakati mwingine maafisa wadogo front desk officers wanakuwa na uelewa mdogo na vitu wanavyofanya.
 
Mtafute afisa mwandamizi hapo hapo voda hilo suala ni kweli voda wana uwezo nalo wakati mwingine maafisa wadogo front desk officers wanakuwa na uelewa mdogo na vitu wanavyofanya.
Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom