Habari wakubwa,mm ni kijana niliehitimu kidato cha sita kuna kozi ya bachelor of science in economics policy and planning(EPP) ninaomba ushauri wa mbinu,mawazo kuhusu kozi hii.na kazi gani anazoweza fanya kijana anaesomea kozi hii???
Habari wakubwa,mm ni kjn niliehitimu kidato cha sita kuna kozi ya bachelor of economic. Policy and planning ninaomba ushauri wa mbinu,mawazo kuhusu kozi hii.na kazi gani anazoweza fanya kjn anaesomea kozi hii???
Ahaaaa nashukuru mkuu,naomba UFAfanuzi pia ata kuhusu hio kozi ya uchumi in general kuna vitu kidogo naweza pata na vingine vikawa funzo kwa vijana wengine watakaosomea kozi hio baadae na jamii nzima kiujumla
Ahaaaa nashukuru mkuu,naomba UFAfanuzi pia ata kuhusu hio kozi ya uchumi in general kuna vitu kidogo naweza pata na vingine vikawa funzo kwa vijana wengine watakaosomea kozi hio baadae na jamii nzima kiujumla
Kiukweli kozi ipo vizuri kwenye maisha ya sasa na inatumika sana.
Hivyo hapo hali nzima ya uchumi unaweza kupata dots.
Mfano hapo utajifunza mambo yote ya mzunguko wa fedha, uzalishaji, ununuzi, matumizi, usambazaji na mabadiliko yake.