Enzi hizo Bongo movie haijavamiwa na kina steve nyerere (kihereherw kilikuwa mfukoni bado) nakumbuka hii ndio movie niliangalia usiku ule na alfajiri ikatolewa taarifa jamaa kavuta. Sikuwahi tena kukaa naangalia vipande vya meseji kutoka kwakina wema na wenzake. Yaani hata aibu hawaoni wanakopi vile vi memes halafu wanatengeneza movie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.