Nubian Ancient
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 958
- 1,182
Samahani sana Wadau.
Kuna dogo namuombea chuo.
Lakini majina yake aliyotumia kidato cha 4 ni tofauti na majina aliyoyatumia kidato cha 6.
Na kwenye kuaomba vyuo mambo yamegoma.
Naomba kufahamu namna ya kutatua tatizo hili.
Kuna dogo namuombea chuo.
Lakini majina yake aliyotumia kidato cha 4 ni tofauti na majina aliyoyatumia kidato cha 6.
Na kwenye kuaomba vyuo mambo yamegoma.
Naomba kufahamu namna ya kutatua tatizo hili.