Msaada

Msaada

killer_sir

Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
7
Reaction score
1
Nimechaguliwa udsm cozi ya bachelor of art in archaeology & geography.....kwa anaeifaham vizuri anipe details zake na uzuri wake as well as ajira zake
 
Nimechaguliwa udsm cozi ya bachelor of art in archaeology & geography.....kwa anaeifaham vizuri anipe details zake na uzuri wake as well as ajira zake

Just google it
Uliombaje coz huifaham
Halaf mnajiita wasomi
 
Kijana naona unatafuta sifa mtaani kwenu kwamba unasoma ud ..

We nenda mjini kuna ofisi ziko pale ilala boma au jirani na karume pale hawashindwi kukusaidia
 
we si unaona sifa kusoma UD haya sasa kasome hilo likoz lako ukimaliza miaka yako 3 ya mateso bila bumu maana kwa hiyo koz hata uwe yatima umefiwa na ukoo wote huwez pata bumu...uki graduate jiandae kwa ujasiriamali maana kwa hiyo koz labda ukaajiriwe na gwajima kama shemasi wa ufufuo na uzima
 
Back
Top Bottom