MSAADA

MSAADA

kubwalamaadui

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
328
Reaction score
51
Habari ndugu zangu wana jamii forum.
Mimi ni mwanamke, mwenye degree ya sayansi ya jamii, nilikuwa naomba kama kuna member yeyote yule amesikia kuna kazi sehemu yeyote ile au kuna nafasi ofsini kwake, nina nina weza kufanya kazi yoyote ile nikipata mafunzo kwa mda mfupi tu na sichagui mkoa wala wilaya.....sehemu yeyote ile naweza kufanya kazi maana nimeshafanya sana kazi za research.

Nisaidie wanajukwaa wenzangu maana huku mtaani mambo magumu na watoto wanalala njaa.

Asanteni sana.
 
Pamoja mkuu. Watu wa huko Tanzania nadhani ndo wanaamka sasa hivi.

Ngoja waamke utapata msaada.
 
samahan dada mm naona ni bora ungeendelea kufany zile kazi za research! maan mtaan wasomi ni wengi izo kazi zenyew kupatikan ni kwa manati...
 
Back
Top Bottom