Sindi mahuwi
Member
- Aug 19, 2017
- 16
- 4
Jaman samahanini nimechaguliwa saut mwanza na udsm sasa bahati mbaya kunakosa limefanyika nimeconfirm vyuo vyote hvyo katika kutafuta suluhisho nikawa awapigia sim saut wani unconfirm na nimetuma ujumbe kwenye email yao ya kuwajulisha kua nimeconfirm chuo kingine ndicho nitakachoenda lakini hawajanipa jibu lolote sasa leo nimeona kwenye account yang ya udsm kuna button ya ku unconfirm sasa nifanyaje?