Common rail injector nozzle, aina hii ya nozzle haziwezi kabisa kuhimili mafuta yaliochakachuliwa hata kdg" ili kwenda nazo sawa hakikisha hutembei na mafuta kidogo kwenye tank {mafuta yanapokuwa kdg kwenye tank nafasi kubwa ya tank hubakia wazi, hewa inayokuwepo hufanya unyevunyevu na hivo kuzalisha maji ambayo huharibu aina hii ya nozzle kirahisi kbs"} jijengee tabia ya kuyatibu mafuta kabla ya kuyatumia hilo tatizo utalisahau, ukizingatia nozzle za aina hii ni ghali sana"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.