MSAADA

MSAADA

Joined
May 12, 2016
Posts
19
Reaction score
2
Naomba nijuzwe kama mtu cheti kimepotea katika hari ya kuhama tu nyumba je unatakiwa ufanyeje ili uweze kutambulika kama ulikuwa nacho na ulishaombea chuo na bahati mbaya kimepotea kipindi unasoma chuo?
 
fanya kutoa taarifa polisi then nenda na police statement mpk ofisi ya gazeti lolote kisha nunua page kwenye gazeti hilo ambalo litakuwa ni la serikali, then nenda pale ofisi za necta ukiwa na polisi statement na ukurasa wa gazeti ulowekwa tangazo lako,wao watakupa barua yenye vielelezo ambavyo vitadhihirisha umepoteza vyeti au cheti
 
sambamba na hilo wapi pahala salama kwa kuhifadhia vyeti. Au tujengage ma safe nyumbn?
 
Back
Top Bottom