mwita burure
Senior Member
- Jul 8, 2016
- 192
- 39
Ndungu wana jf nimekovernt nyingi kwenye pc yangu but cha ajaabu sioni file zipokaa msaaada hapo please
Kwa nini wakati una-convert usichague output folder mwenyewe? Ukiacha i-save automatically mara nyingi inaweka kwenye folder mojawapo katika software uliyotumia.Ndungu wana jf nimekovernt nyingi kwenye pc yangu but cha ajaabu sioni file zipokaa msaaada hapo please
Nimepata kutumia Format Factory... wao wana default folder lakini unaweza kubadilisha kupeleka unakotaka wewe!Kwa nini wakati una-convert usichague output folder mwenyewe? Ukiacha i-save automatically mara nyingi inaweka kwenye folder mojawapo katika software uliyotumia.
Ok, that's good.Nimepata kutumia Format Factory... wao wana default folder lakini unaweza kubadilisha kupeleka unakotaka wewe!