Ofisi ipo ubavuni mwa CCM,makao makuu.Inaangaliana na NMB tawi la Mazengo.Kigorofa Fulani kimechokachokaKesho nataka kwenda Dodoma kwa mdhamini wa viapo anayepatika Ofisi ya Ardhi Dodoma.
Naomba msaada kutoka stendi kuu ni umbali gani na nitafikaje?
Natanguliza shukrani.