T Tanaluza JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 212 Reaction score 123 Aug 23, 2016 #1 Habari Nimepata skimu ya umwagiliaji nataka nilime mpunga lkn baada ya kuvuna mpunga nataka kujua zao gani lingine naweza panda jwenye skimu hiyo.
Habari Nimepata skimu ya umwagiliaji nataka nilime mpunga lkn baada ya kuvuna mpunga nataka kujua zao gani lingine naweza panda jwenye skimu hiyo.
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 2,950 Reaction score 2,489 Sep 6, 2016 #2 Fanya utafiti kama zao vitunguu linafaa hapo.
Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 6,000 Sep 6, 2016 #3 Tanaluza said: Habari Nimepata skimu ya umwagiliaji nataka nilime mpunga lkn baada ya kuvuna mpunga nataka kujua zao gani lingine naweza panda jwenye skimu hiyo. Click to expand... Dengu au mahindi
Tanaluza said: Habari Nimepata skimu ya umwagiliaji nataka nilime mpunga lkn baada ya kuvuna mpunga nataka kujua zao gani lingine naweza panda jwenye skimu hiyo. Click to expand... Dengu au mahindi
BABU KIDUDE JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 1,587 Reaction score 918 Sep 8, 2016 #4 Tanaluza said: Habari Nimepata skimu ya umwagiliaji nataka nilime mpunga lkn baada ya kuvuna mpunga nataka kujua zao gani lingine naweza panda jwenye skimu hiyo. Click to expand... naweza pata na mimi mkuuu?
Tanaluza said: Habari Nimepata skimu ya umwagiliaji nataka nilime mpunga lkn baada ya kuvuna mpunga nataka kujua zao gani lingine naweza panda jwenye skimu hiyo. Click to expand... naweza pata na mimi mkuuu?