<br />Kuna dawa zingine zimekuwa zikisababisha athari ya ngozi Baada ya kuzitumia kwa muda mrefu.<br /><br />
<br /><br />
unaweza ukaonekana mzee wa miaka 90,kumbe ni kijana wa miaka 25. Mimi huwa natumia yai la kanga likiwa na mchanganyiko wa asali mbichi nyekundu. Yaani ngozi inakuwa safi na yenye kuvutia. Jaribu hiyo mkuu kwani haina kemikali.